Nataka kuoa Mwarabu au Muhindi

Nataka kuoa Mwarabu au Muhindi

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
 
Chance kwako wewe kupata Muarabu au Mhindi maana wewe ndo mwenye shida, yeye hajakwambia anashida ya mume "wewe"

'Unanshangaza'
Unajua inapokuja suala la ndoa desperation huwa haimo kabisa na kama kuna mtu anaingia kwenye ndoa just kwasababu yeye anataka kuwa kwenye ndoa basi anakuwa wrong. Makubaliano ya wote wawili is what matters so kama ninatoa chance anayeipokea ni yule anayeitaka na sio kumridhisha au kumhurumia yule aliyeitoa
 
Mh,makubwa. Hapa waswahili ha2na nafac...ngoja nipite.
 
Mh,makubwa. Hapa waswahili ha2na nafac...ngoja nipite.
Kwanini unasema huna nafasi? Unajua nilichokuwa nakitarajia kutoka kwenye thread hii, nilitaka wanawake wa kiswahili kama mimi waseme kwanini am going to hawa wengine and not them na wanishawishi nibadili mawazo
 
Nataka kuoa watu wenye ethnic hizo mbili, sina sababu ila basi tu nataka kufanya vitu tofauti na wengine. Kama umo humu here is your chance don't let it pass you by
Mkuu umeanza kunitamanisha na mimi
 
Haya 2pe reasons behind this sa2,2takushawish bila kujua umeaim ni2?
 
Kwanini unasema huna nafasi? Unajua nilichokuwa nakitarajia kutoka kwenye thread hii, nilitaka wanawake wa kiswahili kama mimi waseme kwanini am going to hawa wengine and not them na wanishawishi nibadili mawazo

Why should they?
 
Not to you, apparently :]
Well according to you, but unfortunately i am the one who chooses who to marry so i have made up my mind of what type do i need
 
Back
Top Bottom