kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Daby mwenyewe[emoji1][emoji1]Sikuhizi wazungu wamekuwa maskini...nao wa danga.
Bora ujitafutie mwanamke mweupemweupe umfanye mzungu wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daby mwenyewe[emoji1][emoji1]Sikuhizi wazungu wamekuwa maskini...nao wa danga.
Bora ujitafutie mwanamke mweupemweupe umfanye mzungu wako.
Kwanini wazungu hupenda waafrika wenye rasta
Jifunze lugha ya huyo mama wa kizungu unayemtaka Ujue jinsi ya kumtongoza.Kichwa cha habari kinajieleza na huu ndo utakuwa uzi wangu wa mwisho na labda tu kuleta mrejesho. Namtaka mzungu tu wa kike, nipe site wakuu humu ni mambo yote
Mimi uanaume wangu bado jipya kabisa, genius wamenielewa.
Asante mkuu,kufuga paka hapo ni ishu mkuu, Ila nimekuelewaKama ni wakuoa unatafuta, basi Una kazi kweli kweli kumpata.
Ila kwasababu kwenye nia pana njia.
Pambania hilo dhumuni lako.
Ila inabidi uwe special kweli kweli, na uwe /kujiweka tofauti kidogo na wabongo wa kawaida.
Uwe na Hobbies /mambo ambayo wazungu wanapenda mf Adventures za kutembelea nature za dunia.
Uwe unapenda wanyama hasa mbwa na paka (sasa ushaona wapi ghetto la msela Lina paka).
Lugha yao uwe unaijua as expert na uwe unajieleza vizuri.
Usiwe unapenda Hela zao atleast in first dates .kila mtu anajigharamia kivyake.
Ukiwa na atleast Haya basi Tafuta connection inayoweza kukuweka karibu na wazungu, maana yuko mmoja atakupenda.
Otherwise kwenye Websites utakutana na waliopinda na wanaotaka starehe mtatumiana tu na huwezi kuoa au kuwa na mtoto Mzungu.
Maana huko kwenye websites wamejaa wazungu wanaume wanaotafuta escort za dada zetu wa kiafrika , kufanya nao starehe au kuwaambukiza maradhi (mf Mzungu wa Kenya).
Kila la kheri mkuu.
Mzungu ni binadamu wa kawaida tu, mahitaji yake ni kama Mimi na wewe.Kichwa cha habari kirefu kuliko habari yenyewe utaweza kumtunza Mzungu kweli wewe ??
Nafikiri wengi wanafanana na Australopithecus orijino, natania... 😀 😀😀😀Kwanini wazungu hupenda waafrika wenye rasta