Nataka kuoa mzungu, ni wapi nitawapata? Iwe kwenye mtandao ni kwenye mtandao upi nimedhamiria

Kichwa cha habari kinajieleza na huu ndo utakuwa uzi wangu wa mwisho na labda tu kuleta mrejesho. Namtaka mzungu tu wa kike, nipe site wakuu humu ni mambo yote

Mimi uanaume wangu bado jipya kabisa, genius wamenielewa.
Jifunze lugha ya huyo mama wa kizungu unayemtaka Ujue jinsi ya kumtongoza.
 
Asante mkuu,kufuga paka hapo ni ishu mkuu, Ila nimekuelewa
 
Kwanini wazungu hupenda waafrika wenye rasta
Nafikiri wengi wanafanana na Australopithecus orijino, natania... πŸ˜€ πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ

Everyday is Saturday..............................😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…