Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Ubachela shida sana mwanzo nilikua napiga usafi geto kila siku baadae nikachoka nikawa nafanya usfi baada ya wiki mbili baadae wik 3.
Nilikua napikia ges kila siku baadae nikachoka kupika na kuosha vyombo nikaamua kurudi kwa mama ntilie, ikawa siku nyingine nalala njaa kwasababu ya uvivu wa kupika...
Nikapiga hesabu nikagundua natumia gharama kubwa kula kwenye migahawa nikaamua kununua digital cooker nikaitumia kwa miez kama 6 nikachoka kuosha vyombo na kula ndizi na wali kila siku nikaacha kuitumia sahiv nmerud kweny migahawa na kulala njaa, ikafika wakat nikajuta had kununua fridge maana kuisafisha ni mziki alaf kwanza siwek kitu chochote...
Itoshe tu kusema mke ni wa muhimu Sana, ila mimi nakushauri uowe full back maana wanawake wa sahiv wanajidai wako bize na kaz za kiofis had hawajui majukumu yao ya msingi
Nilikua napikia ges kila siku baadae nikachoka kupika na kuosha vyombo nikaamua kurudi kwa mama ntilie, ikawa siku nyingine nalala njaa kwasababu ya uvivu wa kupika...
Nikapiga hesabu nikagundua natumia gharama kubwa kula kwenye migahawa nikaamua kununua digital cooker nikaitumia kwa miez kama 6 nikachoka kuosha vyombo na kula ndizi na wali kila siku nikaacha kuitumia sahiv nmerud kweny migahawa na kulala njaa, ikafika wakat nikajuta had kununua fridge maana kuisafisha ni mziki alaf kwanza siwek kitu chochote...
Itoshe tu kusema mke ni wa muhimu Sana, ila mimi nakushauri uowe full back maana wanawake wa sahiv wanajidai wako bize na kaz za kiofis had hawajui majukumu yao ya msingi