Nataka kurefusha uume wangu

New Client

Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
9
Reaction score
1
Habarini ndugu zangu wa humu! natumaini wote humu ni wazima wa afya. wataalamu mimi nataka nirefushe mdudu wangu ikiwezekana ufikie INCH 6 na unene unaotosha kwa matumizi yale. mimi nnao wa wastani ila kimsingi naona kma ni mfupi! NIKO SERIOUS, kwa mtaalamu yeyote ambae nae yuko SERIOUS kama mimi mwenye tiba ya tatizo langu naomba anijulishe! nko mwanza. PLEASE PM ME!
 
NEW CLIENT...... hahahahahahaaaaa!!! nimependa jina lako!!! ila angalia kaka ---- lako lisije kuzidi kipimo! wadau wamo kibao humu subiria watakuja kutatua tatizo lako.....
 
Ukilala funga jiwela kilo mbili kwenye kichwa yake afu uning'inize kwenye kitanda. Miezi 6 tu unalingana na miguu
 
Mi nadawa inarefusha inakuwa kama ya Punda
 
Mkuu, hela unayo? dawa zipo ila itakubidi uchanjwe chale kidogo na uwe tayari kusafiri kuja nilipo. Nitakutumia PM siyo muda.
 
Ni ujinga kukosoa kazi ya mungu.
 
Ukilala funga jiwela kilo mbili kwenye kichwa yake afu uning'inize kwenye kitanda. Miezi 6 tu unalingana na miguu
Akishindwa hiyo mwambie atumie Pilipili, chumvi, ndimu (ndio mkombozi wetu akina baba)
 
Wadau mimi niko serious kama hujui kitu ni bora ukae kimya tu coz wengine mnaboa? watu kama ninyi hamfai kuwa humu jukwaani! Alaaaa!!!
 
Utomvu wa mgomba wa ndizi naskia unasaidia kie kie kie
 
kwani amekuambia humfikishi?nenda kwa wamasai wakupe dawa
kama unajua dawa sema pesa sio kitu hata kama dawa iko mbali na mimi itasafirishwa kwa gharama yeyote ili mradi niwe okey
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…