Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Habari wadau,
Naomba ushauri wenu kwenye suala la kununua biashara/kampuni ambayo imehsasajiliwa. Niemkuwa mtaalamu wa System Development kwa muda mrefu, na nataka kurasmisha utendaji wangu, ila naona kitendo cha kusajili kampuni upya kitanirudisha nyuma.
Je, napaswa kuzingatia nini? Na vigezo/athari ni vipi/zipi hapa TZ? Asanteni kwa ushauri wenu...
Naomba ushauri wenu kwenye suala la kununua biashara/kampuni ambayo imehsasajiliwa. Niemkuwa mtaalamu wa System Development kwa muda mrefu, na nataka kurasmisha utendaji wangu, ila naona kitendo cha kusajili kampuni upya kitanirudisha nyuma.
Je, napaswa kuzingatia nini? Na vigezo/athari ni vipi/zipi hapa TZ? Asanteni kwa ushauri wenu...