Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako kapikipiki hafiki nako mbali kanachemka hasa awe na pesa za kutosha kula njiani mbio asizidi kilomita 50 kwa saa .Mnyororo atembee nao mwingine mpya .Kila akienda kilomita 80 Akapumzishe walau masaa mawili akifika kilomita 160 alale aamuke nako kesho katulie kapigwe upepo na serivicenimejifunza kitu.
muda mrefu nimetamani kujua why baadhi za pikipiki zina vibrate sana na zingine zimetulia. asante mkuu
aisee!Hako kapikipiki hafiki nako mbali kanachemka hasa awe na pesa za kutosha kula njiani mbio asizidi kilomita 50 kwa saa .Mnyororo atembee nao mwingine mpya .Kila akienda kilomita 80 Akapumzishe walau masaa mawili akifika kilomita 160 alale aamuke nako kesho katulie kapigwe upepo na serivice
mahitaji ya dharura;
1. oil
2. petrol
3. tairi la akiba
4. pump ya mkono
5. vifaa vya kuziba pancha
6. spana
7. maji ya kunywa
8. chakula kikavu
9. silaha/ kisu/ jambia/mawe
10. mavazi mazito na gloves
11. dawa za maumivu
12. uwe na m pesa kwa ajili ya vifurushi
13. line za simu mitandao yote, kuna maeneo mitandao flani haishiki.
zingatia hayo
Jamaa kaomba ushauri wa namna ya kufika Moro kwa kutumia pikipiki yake.
Hajaomba ushauri wa kujua pikipiki yake ni Mchina/feki au ni ya Japan/Germany wala Italy.
Tujifunze kujikita kwenye mada husika,la sivyo JF itakuwa kama badoo/Facebook.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo pikipiki itatakiwa iwe na buti kabisa. [emoji3]
Ushauri wa kweli kabisaingekuwa pikpik ya timing chain kama boxer TVS hlx au SINORAY ungefika mapema kuliko bus...kuna jamaa yangu katoka dar juzi saa mbili asubuhi kumekucha na SINORAY ya timing chain kafika NJOMBE saa tisa alasiri umba ni km 700 alitumia takriban masaa 7...timing chain haitetemeshi wala hauchoki unakuwa na mwendo wako wastani kama 100kph unafika mapema kabisa
...ila hiyo sun lg utajuta utaomba kupakia njiani kwenye maroli maana full vibration hata manyoni hufiki utakuwa ushapigwa ganzi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unatarajia ktk safari yako utatumia kiasi gani cha pesa kugharamia mafuta, service, kula, matibabu, Polisi, Uchovu hadi kufa??
kutoka mwanza mzee sio DarMoro km 200 unafika bila shida
Huo mzigo anaupakia wapi [emoji23] [emoji23] [emoji23]mahitaji ya dharura;
1. oil
2. petrol
3. tairi la akiba
4. pump ya mkono
5. vifaa vya kuziba pancha
6. spana
7. maji ya kunywa
8. chakula kikavu
9. silaha/ kisu/ jambia/mawe
10. mavazi mazito na gloves
11. dawa za maumivu
12. uwe na m pesa kwa ajili ya vifurushi
13. mnyororo
14. line za simu mitandao yote, kuna maeneo mitandao flani haishiki.
zingatia hayo
akiuacha huo mzigo tutegemee uzi mwingine wa kuomba msaada amekwama porini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huo mzigo anaupakia wapi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakuu habari,nauliza ili nipewe mwanga hapa,naitaji kusafiri kutoka mwanza kwenda morogoro kwa pikipiki sanlg 125 cc,je wataalamu wanisaidie hapa nifanyeje ili nifike vzr na hii pikipiki? Ni mpya ina miezi miwili,
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo pikipiki itatakiwa iwe na buti kabisa. [emoji3]
Mkuu mawe tenamahitaji ya dharura;
1. oil
2. petrol
3. tairi la akiba
4. pump ya mkono
5. vifaa vya kuziba pancha
6. spana
7. maji ya kunywa
8. chakula kikavu
9. silaha/ kisu/ jambia/mawe
10. mavazi mazito na gloves
11. dawa za maumivu
12. uwe na m pesa kwa ajili ya vifurushi
13. mnyororo
14. line za simu mitandao yote, kuna maeneo mitandao flani haishiki.
zingatia hayo
ndio mkuu, akikwama porini, ajihami na wanyama hatari kwa mawe au awarushie vibakaMkuu mawe tena