tongwe mgambo
Member
- Jul 3, 2018
- 30
- 39
Utafka bila shda yoyote ukitoka mwanza pumzika kahama baada ya kutoka kahama kapumzike manyoni singida baada ya hapo dodoma mpaka Moro chakuzingatia speed na kukaa katikt ya barabara kaa pembeniWakuu habari,nauliza ili nipewe mwanga hapa,naitaji kusafiri kutoka mwanza kwenda morogoro kwa pikipiki sanlg 125 cc,je wataalamu wanisaidie hapa nifanyeje ili nifike vzr na hii pikipiki? Ni mpya ina miezi miwili,
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu
Eeeeeh hahhaha na mawe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utafka bila shda yoyote ukitoka mwanza pumzika kahama baada ya kutoka kahama kapumzike manyoni singida baada ya hapo dodoma mpaka Moro chakuzingatia speed na kukaa katikt ya barabara kaa pembeni
Badili tu oil petrol ya kutosha anza safari ila pikipiki ya mchina ina vibresheni sana ukitembea sana, kama kuna uwezekano pumb. acha nyumbani.Wakuu habari,nauliza ili nipewe mwanga hapa,naitaji kusafiri kutoka mwanza kwenda morogoro kwa pikipiki sanlg 125 cc,je wataalamu wanisaidie hapa nifanyeje ili nifike vzr na hii pikipiki? Ni mpya ina miezi miwili,
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu
Hivi ni nini kinakufanya ushindwe kuandika Kiswahili kinyoofu??? eti "mala" ! Haujionei aibu??Kuna jamaa huwa anatoka Dar es salaam mpaka Kigoma kwa pikipiki!
Teoa siyo mala moja, ni mala nyingi tu.
Pointmahitaji ya dharura;
1. oil
2. petrol
3. tairi la akiba
4. pump ya mkono
5. vifaa vya kuziba pancha
6. spana
7. maji ya kunywa
8. chakula kikavu
9. silaha/ kisu/ jambia/mawe/mkuki/upinde
10. mavazi mazito na gloves
11. dawa za maumivu
12. uwe na m pesa kwa ajili ya vifurushi
13. mnyororo
14. line za simu mitandao yote, kuna maeneo mitandao flani haishiki.
zingatia hayo
ingekuwa pikpik ya timing chain kama boxer TVS hlx au SINORAY ungefika mapema kuliko bus...kuna jamaa yangu katoka dar juzi saa mbili asubuhi kumekucha na SINORAY ya timing chain kafika NJOMBE saa tisa alasiri umba ni km 700 alitumia takriban masaa 7...timing chain haitetemeshi wala hauchoki unakuwa na mwendo wako wastani kama 100kph unafika mapema kabisa
...ila hiyo sun lg utajuta utaomba kupakia njiani kwenye maroli maana full vibration hata manyoni hufiki utakuwa ushapigwa ganzi
kuna kitu wanaita push load..sifahamu sana ila ndo hivo kuna pushload na timing chainhizo ambazo hazina timing chain zinatumia mechanism gani kufungua milango ya mafuta na exaust
ulifika Moshi salama mkuu?Wasikutishe pambana mkuu, mbona unafika bila wasi. Umakini muhimu
Nataka niende Moshi na Boxer X150 nipeni ushauri wakuu - JamiiForums
Moro km 200 unafika bila shida
Ulikua na haja ya kutukana mkuu?Boya kweli we mama Mwanza - Moro 200km? really? sio bure utakuwa wa nyegezi wewe!
Hata mbinguni zinaenda muhimu kuwepo na barabara,na kote ulikokutaja zinafika kwa masaa matatu.NAOMBA KUJUA NDUGU ZANGU. HIVI PIKI PIKI MFANO BOXER, YAMAHA, TVS, HONDA ZINAWEZA PIGA RUTI NDEFU MFANO DAR-MOSHI, NA MASAA MANGAPI INAWEZA TUMIA!??!....
NOTE:
naomba majibu halisia tafadhali.......
ASANTENI....
Hahahahahaha nimecheka kwa sauti kwenye ndege yaan daaaHiyo pikipiki itatakiwa iwe na buti kabisa. [emoji3]
Hahahahaa wewe jamaa nadhan unalengo jamaa asafir na garage kabisandio mkuu, akikwama porini, ajihami na wanyama hatari kwa mawe au awarushie vibaka
Utatumia siku mbili but iwe mpya au nzima umwage oil Mara tatu na usiivute Sana tembea mwendo wa kawaida( me nilitoka na fecon kutoka moro kwenda sumbawanga kwa two days)Wakuu habari,nauliza ili nipewe mwanga hapa,naitaji kusafiri kutoka mwanza kwenda morogoro kwa pikipiki sanlg 125 cc,je wataalamu wanisaidie hapa nifanyeje ili nifike vzr na hii pikipiki? Ni mpya ina miezi miwili,
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu
mkuu jamaa anasafari ndefu, pikipiki ndogo hiyo ategemee kukwamaHahahahaa wewe jamaa nadhan unalengo jamaa asafir na garage kabisa