Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Bro sina passport. Zile tempo siwezi pata pale mpakani? NIDA haina msaada.Insurance tu comesa na muda gani utakaa ujazwe Kwenye passport basi jingine chukua 1000/- ya kenya ichange iwe 100 na 50bob kwa ajili ya njiani mwisho vyakula vyao ni hivyo na bei juu ila Mombasa waswahili wanajua kupika kiasi flani na lodge nazo sio za maana ila bei, mengine ni uzungu mwingi sana.
Mi huko ni kama home sina ID yo yote ila natimba tu