Nataka kusafiri kwenda Nairobi, Kenya

Bro sina passport. Zile tempo siwezi pata pale mpakani? NIDA haina msaada.
 

Alikuja mwaka juzi driver my friend toka Mombasa ana 27k ksh nikampokea isibania nikampeleka kwa msomali akabadili then tukaenda Mwanza nikampeleka La Cairo hakuamini ile hela siku 3 anacheza na lift na kula samaki vila na bia hanywi siku ya kuondoka alinambia 2023 nakuja na familia namsubiri december
Kwa ujumla mkenya akija huku vitu vingi bei akilinganisha na kwao huku ni kama bure kabisa mf: chakula lodg bear na totoz
 
Hivi wabongo mnakuwaga serious Kweli? Yaani jamaa yupo serious kbsa anataka kuja Kenya na hiyo hela kiduchu?

Mleta mada nakushauri ubaki tu huko kwenu uende tu hata pale kitambaa Cheupe utumie hivyo visenti vyako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…