Nataka kusafiri na ndege kwa mara yakwanza dar-bukoba

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,266
Reaction score
3,698
Habar wakuu nataka kusafiri na ndege kwa mara ya kwanza ktk maisha yangu ..safar yangu nikutoka dar-bukoba..nin kinatakiwa kuwa nacho na kipi hakitakiwi na pia nin chakuzingatia ili kufanikisha safar niweze safiri...Sina uelewa wowote na nauli nishingap one way
 
Usile sana usije kutapikia wenzako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…