Nataka kusafirisha pikipiki kutoka Dar es Salaam kwenda Babati

Nataka kusafirisha pikipiki kutoka Dar es Salaam kwenda Babati

Mansakankani mussa

Senior Member
Joined
Feb 13, 2021
Posts
156
Reaction score
196
Habari zenu wakuu,

Naomba kujuzwa kampuni makini ya kusafrisha mizigo kutoka Dar kwenda Babati. Pia kama Kuna mtu aliwahi kusafirisha Kwa bus usalama wake ulikuwaje baada ya kufika.

Natangulza shukrani kwenu.
 
Back
Top Bottom