Mansakankani mussa
Senior Member
- Feb 13, 2021
- 156
- 196
Habari zenu wakuu,
Naomba kujuzwa kampuni makini ya kusafrisha mizigo kutoka Dar kwenda Babati. Pia kama Kuna mtu aliwahi kusafirisha Kwa bus usalama wake ulikuwaje baada ya kufika.
Natangulza shukrani kwenu.
Naomba kujuzwa kampuni makini ya kusafrisha mizigo kutoka Dar kwenda Babati. Pia kama Kuna mtu aliwahi kusafirisha Kwa bus usalama wake ulikuwaje baada ya kufika.
Natangulza shukrani kwenu.