Nataka kusafirisha pikipiki kutoka Dar es Salaam kwenda Babati

Mansakankani mussa

Senior Member
Joined
Feb 13, 2021
Posts
156
Reaction score
196
Habari zenu wakuu,

Naomba kujuzwa kampuni makini ya kusafrisha mizigo kutoka Dar kwenda Babati. Pia kama Kuna mtu aliwahi kusafirisha Kwa bus usalama wake ulikuwaje baada ya kufika.

Natangulza shukrani kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…