Nataka kusoma kozi ya civil draught VETA

Nataka kusoma kozi ya civil draught VETA

niweza kidogo itakuaje na huna idea wala knowledge kabisa ya CIVIL engineering, angalau ungekuwa hata na certificate ya Civil Engineering...

Jaribu kutafuta course za operators for mining underground machines, kama utapata hiyo Tanzania nenda kasome, kama uko vizuri mfukoni dondoka SA ukasome chap......migodi ya underground inatafuta sana watu...
 
niweza kidogo itakuaje na huna idea wala knowledge kabisa ya CIVIL engineering, angalau ungekuwa hata na certificate ya Civil Engineering...

Jaribu kutafuta course za operators for mining underground machines, kama utapata hiyo Tanzania nenda kasome, kama uko vizuri mfukoni dondoka SA ukasome chap......migodi ya underground inatafuta sana watu...tat

niweza kidogo itakuaje na huna idea wala knowledge kabisa ya CIVIL engineering, angalau ungekuwa hata na certificate ya Civil Engineering...

Jaribu kutafuta course za operators for mining underground machines, kama utapata hiyo Tanzania nenda kasome, kama uko vizuri mfukoni dondoka SA ukasome chap......migodi ya underground inatafuta sana watu...
Tatizo bajet niliyokuw nayo kiongoz n ndogo ndio maan nikaona n bora nipige veta level one had two nahamin nitakuw na msingi wa civil pmj n uchoraji hilo ndio lengo langu kiongoz
 
Hiyo hela ulonayo Fikiria biashara fanya...
Utanishukuru baadae achana na hayo unauowaza.
N kwel kiongoz ulichosema ila msoto wa kufanya biashara naujua vizuri tena ambapo unafany biashara hiyo hiyo ndio ikulishe wew inakuw n changamoto
 
ila unaweza kunirekebisha kam naend
niweza kidogo itakuaje na huna idea wala knowledge kabisa ya CIVIL engineering, angalau ungekuwa hata na certificate ya Civil Engineering...

Jaribu kutafuta course za operators for mining underground machines, kama utapata hiyo Tanzania nenda kasome, kama uko vizuri mfukoni dondoka SA ukasome chap......migodi ya underground inatafuta sana watu...
Ni

niweza kidogo itakuaje na huna idea wala knowledge kabisa ya CIVIL engineering, angalau ungekuwa hata na certificate ya Civil Engineering...

Jaribu kutafuta course za operators for mining underground machines, kama utapata hiyo Tanzania nenda kasome, kama uko vizuri mfukoni dondoka SA ukasome chap......migodi ya underground inatafuta sana watu...
Ila unaweza kunirekebisha kama naenda opposite
 
Na

Naelew mkuu ila nimeon niwe n fani,ulikuw unanishaurije ndugu yangu kuhusu hii kozi niachane nayo au nifate kozi nyingine?
Keep praying, lakini Kilimo kinaokoa watu wengi at the moment ingawa inabidi ujikane kweli kweli ili utoboe
 
Back
Top Bottom