Nataka kusoma Medicine, nichukue mchepuo gani?

Nataka kusoma Medicine, nichukue mchepuo gani?

IamMrLiverpool

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
4,362
Reaction score
6,274
Ndio wakuu naombeni msaada hapa heshima yenu kwanza nauliza tu nataka kuchukua medicine sasa ni lazima nichukue pcb au kuna alternative nyingine pia
by the way nataka kusomea uganda naombeni right advice please

ahsanteni
 
Sifahamu juu ya requirements za chuo Uganda....ila ningekushauri uchukue PCB. Kwa hapa nyumbani vyuo vingi havienroll watu wa kombi nyingine tofauti na PCB (CBG, CBN) kwa ajili ya medicine.
 
ukihandle PCB labda LABDA medicine utaihandle...
na sijui ur reasons ila uganda kusoma medicine! angalia usijerudi bongo ukapata tabu za kuajiriwa
 
Back
Top Bottom