IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Ndio wakuu naombeni msaada hapa heshima yenu kwanza nauliza tu nataka kuchukua medicine sasa ni lazima nichukue pcb au kuna alternative nyingine pia
by the way nataka kusomea uganda naombeni right advice please
ahsanteni
by the way nataka kusomea uganda naombeni right advice please
ahsanteni