Nataka kusoma O LEVEL kwa posta

Wamazombe

Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
15
Reaction score
6
Elimu yangu std 7.nataka kujiendeleza lakini muda sina je naweza kusoma kwa posta?Kama kuna mtu ana hata anuani ninakoweza kupata elimu hiyo anisaidie.
 
Elimu yangu std 7.nataka kujiendeleza lakini muda sina je naweza kusoma kwa posta?Kama kuna mtu ana hata anuani ninakoweza kupata elimu hiyo anisaidie.

sina hakika kama kwa sikuhizi elimu kwa njia posta au masafa inatolewa, labda ujaribu kujiunga na shule au kituo cha elimu kilichopo karibu nawe kinachotoa elimu ya sekondari kwa miaka miwili, watakupa utaratibu kama watakuwa wanakuwezesha kusoma kwa njia masasfa.
 

asante kwa ushauli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…