kaitamarogo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 461
- 495
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25.Baada ya kutafuta maisha bila mafanikio kama kuna mwenyeji wa bumbile , Makibwa, goziba, anidokeze yafuatayo
1. maisha yalivyo na mazingira ya kule
2. fursa zinazopatkana huko visiwani.
1. maisha yalivyo na mazingira ya kule
2. fursa zinazopatkana huko visiwani.