Ipo utaipenda πHaipo huku playstore
πΆπΆπΆIpo utaipenda π
MTU ninaye ila Hana sexy voiceWe si uchukue mtu fanya yenu rekodi sauti tena pale ndo huwa nzuri hatar
That's old stuff
Kama hujasoma IT usije Kwa comment unatuchoshakomaa na sauti yako hiyohiyo kama ya masatu wassira. Ila zipo AI za kutosha tuu una upload sauti lako inakupa sauti ya rihanna
Una uhakika ni wakike huyu?Ungekua mwanaume ningeshtuka lakini kumbe ni wakike.
Subiri utapata msaada.
Afsa kipenyo [emoji2]Amini nawaambia tabata hamning'oi
"Teja kapata ngada, Chura kapata kanga na malaya kapata danga"
Ndo nn dada Teo πAfsa kipenyo [emoji2]
Si ujirekodi tu umtumieSamahani wale ma IT na computer science mlioko huku
Nataka kutengeneza Sexy Voice Kwa kutumia audio, ndio na edit nini au kuna app gan natumia?!
Mume Yuko mbali so lazima nimpagawishe[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ajirekodi akiwa anadinywa au? πSi ujirekodi tu umtumie
Kuzimu watakuchoma na gesiAmini nawaambia tabata hamning'oi
"Teja kapata ngada, Chura kapata kanga na malaya kapata danga"
Nakushangaa JINSI utachomwa na gesi kuzimuWe Money Penny kila comment unashangaa tu shida nn
Kuna app ndio maana nimeulizaSi ujirekodi tu umtumie
Wewe una shida mahaliNakushangaa JINSI utachomwa na gesi kuzimu