Nataka kutengeneza Sexy Voice Kwa audio msaada please?!...

Nataka kutengeneza Sexy Voice Kwa audio msaada please?!...

Hamna Sexy Voice ni vile utaamua ji tune na kuongea na kupangilia maneno.

Sex Voice How, kuwa na sauti nzito inaweza pia kuwa sexy,ni vile unaongea kwa taratbu,upole,unyenyekevu na kwa poze.

Mwanamke ukiongea taratbu,kwa nukta,kwa koma na kuvuta pumzi hata uwe na sauti ya aina gani huwa inageuka kuwa sexy.

Sio sauti zito maneno unayaongea ongea kama umekula makande then unategemea kuwa sexy voice.

Sexy Voice ni sauti ya upole yakubembeleza isiyoumiza masikio na yenye kueleweka na kubembeleza.

Msikilize DIVA akiongea kwa Kipindi, Msikilize Akicheka utajua maana ya sexy voice.

lakini Diva huyo huyo mkute Kidimbwi utajua kweli Redio zinatupumbaza.

Wema Sepetu has one sexy voice, why?! sauti yake haikeri,haiumizi,sio kali, hata akishout ni kama analalamika yani,ili ujue wema kakasirika ni mpaka umuangalie usoni au apayuke sauti kubwa.

Wewe usitumie APP jibadilishe wewe kwanza anza kuwa mtaratbu,behave kama mwanamke,kuwa na mapozi ya kike,nk utaona sauti inavyobadilika bila hata APP.

msaada mkubwa unaotakiwa uupate ni Kukubali ulivyo na ubadilike.
 
Hamna Sexy Voice ni vile utaamua ji tune na kuongea na kupangilia maneno.

Sex Voice How, kuwa na sauti nzito inaweza pia kuwa sexy,ni vile unaongea kwa taratbu,upole,unyenyekevu na kwa poze.

Mwanamke ukiongea taratbu,kwa nukta,kwa koma na kuvuta pumzi hata uwe na sauti ya aina gani huwa inageuka kuwa sexy.

Sio sauti zito maneno unayaongea ongea kama umekula makande then unategemea kuwa sexy voice.

Sexy Voice ni sauti ya upole yakubembeleza isiyoumiza masikio na yenye kueleweka na kubembeleza.

Msikilize DIVA akiongea kwa Kipindi, Msikilize Akicheka utajua maana ya sexy voice.

lakini Diva huyo huyo mkute Kidimbwi utajua kweli Redio zinatupumbaza.

Wema Sepetu has one sexy voice, why?! sauti yake haikeri,haiumizi,sio kali, hata akishout ni kama analalamika yani,ili ujue wema kakasirika ni mpaka umuangalie usoni au apayuke sauti kubwa.

Wewe usitumie APP jibadilishe wewe kwanza anza kuwa mtaratbu,behave kama mwanamke,kuwa na mapozi ya kike,nk utaona sauti inavyobadilika bila hata APP.

msaada mkubwa unaotakiwa uupate ni Kukubali ulivyo na ubadilike.
Mbona barua hivi
Njoo YouTube basi
 
Back
Top Bottom