Nataka kutumia ushawishi wangu kusababisha uhaba wa chumvi nchini

Sukari haitengenezwi na miwa tu

Uwepo wa malighafi ya uhakika siyo hoja
Kukitokea tatizo kwenye uzalishaji wa chumvi ni nini kitafanyika kuhusu maji ya bahari ili chumvi isikosekane ni mchakato utakaochukua mda na bei ya chumvi itakuwa juu kabla ya majibu kupatikana



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hizo ndoto zako zinaweza timia siku maji ya bahari yakikauka dunia nzima.

Hata inapotoka chumvi upajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…