Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kwa umri wako hufanani na uliyoyaandika? Make haya yanafanywa na watoto wachanga wa ndoa.
Chezea hii kitu wewe!Mbona kwa umri wako hufanani na uliyoyaandika? Make haya yanafanywa na watoto wachanga wa ndoa.
mmmhh, sijui unapitia nini lakini kwa mie siwezi muanika mme wangu hivi.
Hawara sawa nitamwamnika, mme hell no.
Ni aibu yako, ya watoto, ya ndugu zako, ya ndugu zake, na yeyey mwenyewe.
Kama umeshindwa, kwa nini usifanye maamuzi na kuondoka na kushirikisha familia zenu ukapata haki zako??
Umeamua kumuabisha ili akome? Haikusaidii kwa kweli.
Kwa details ulizotoa hapa sijui magazeti ya udaku yapate, yamwanike ukurasa wa mbele, unadhani watoto wako watasoma huko chuo kwa wiki nzima.
Nimekukasirikia sana wewe mama, ume-act kama mala.ya aliyechukuliwa na mwanamme kwa usiku mmoja, kamwaga mboga umemwaga ugali. Nadhani nafasi ya mke wa ndoa ni zaidi ya hicho ulichofhanya.
Unaamini watu wa hapa kuliko hata nduguzo? Nina maswali kibao, umenishangaza kama mke wa kiaka 21 anaweza fanya hivi.
Kosa la umalaya limefuta wema wake mwingine wote aliowahi kufanyia hadi kumvua nguo hivi? Hebu mkumbuke tangu day 1 anakutongoza, hadi mnaoana, hadi mnapata watoto, hakuna jema hata moja??
Umenikumbusha story ya biblia, abrahamu alivyokuwa anambembeleza malaika wasichome sodoma na gomora. Hata ukikuta watu wema 20, utachoma mji, malaika anajibu hapana, nitawasamehe.
Wewe nawe umekosa hata jema moja la kumsamehe mmeo? Afu usipende kupayuka ukiwa na hasira utajuta siku moja.
wacha ubinafsi wewe Elli haya ni mambo ya kawaida sana ishewe na nani wengine MBILIA hebu mwaga zile namba nyingine tutakusaidia watoto wamujini ,dontown kitambo tunajua kudeal na wezi sie angekuwaanaheshima angejali na kumheshimu banaDadangu pole kwa yote ila ulichokifanya si sahihi kabisa kuweka mambo yenu ya ndani kabisa hapa jamvini, shirikisha watu wachache sana sio kila mtu ataweza kukusaidia, ni-PM tuongee ila naomba futa hii thread italeta madhara makubwa zaidi ya haya.
Mods ili kulinda ndoa na heshima ya Mama huyu naomba hii thread iondoke ili aweze ku-share na watu wachache tu, ni ushauri tu
mmmh ndo maana sitembeagi na waume za watu mie
wapi global publisher?
eheheeee hao mahawara watakomaje?
acha iwe mbaya mama sema sema!