Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

Wee mtafune tu

Everyone has a secret [emoji457][emoji28][emoji28][emoji28]

Ni vile tu watu Hawa wezi kusema yaliyo jificha vifuani mwao ,, mle kaka mle [emoji16]
Dah..!! kama vile umeshaliwa na bro wako yaanii..!!!
 
Hizi mambo kwa mtu muelewa anajua kabisa tunakoenda ni wapi.

Huwezi kuchart na mama mkwe makopa kopa halafu mtu mwenye akili timamu useme eti ni kuzoeana.

Ukiona texts zako na za mama mkwe wako mkeo hawezi zisoma basi ingekomea hapohapo huo ubazazi.

Na huenda una mahusiano nae tayar.
 
Mrejesho wa huu uzi tafadhali! Nini kilitokea?

Maana ni miezi takriban mitano imepita
 
Aisee
Umeisimulia hii kesi hadi sisi wazee wa Cuba tushapiga mstari kuwa umeshamla mama mzaa chema.

Enewei, mwenye shida ya kwenda Mbinguni ni wewe, sisi tunachojua ni kwamba umemka bibie na umegundua ni mtamu kuliko mkeo. Kikawaida kadiri mwanamke anavyoongezeka umri baada ya 43 eneo la utekezi linakuwa tight na mnato uliomakinika.

Ah wacha niishie hapo
 
Acha kutazama sinema za ngono zinazoakisi maisha halisi ya wale wajaa laana wazungu a.k.a watasha

Maisha ni mafupi, mkumbuke mola wako.
 
Ninachotaka kukushauri ndg yangu zambi huwa ni deni lazima irudi kwenye kizazi chako au kwako mwenyewe binadam hua tunaogopa watu kuliko mungu bila kujua mungu ndio anehukumu maisha yetu na ndio alieyashikilia na mungu huwa hafichwi.....haya tunayoona yanatokea leo kwenye jamii ushoga usagaji ni mambo yaliofanyika kwa siri mnoo lkn leo hii kizazi kinalipa deni tunasema dunia imekwisha wakati tulianza kuimaliza wenyewe na vitendo vyetu ...sasa hilo ulilofanya ndugu yangu usipotubu na kuliacha kabisa kwa ajili ya Allah basi utakumbuka hii msg yangu baada ya miaka 20 kwakitachotokea kwenye kizazi chako laana umeianza mwenyewe
 
Ulimla?

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa jinsi ulivomuongelea huyo mamamkwe hadi nmejikuta nmedindsha. Ila acha ufala
Maaroon wewe shenzy type πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yan watu wa jf mnalaaana kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

"I'm a caring & responsible husband"

Rubbish kabisa..... Haya anatakiwa aseme mkeo...
 
Ukishamtafuna hebu utuletee hap picha kamili, utamu wake, experience yake, yaani usibakize hata moja tunataka kujua kama yaliyomo yamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…