Wadau heshima kwenu. Nimekuwa nikitamani sana kuwa kiongozi kwenye sekta ya elimu ili niboreshe taaluma kwa vipaji na vipawa nilivyojaliwa na mwenyezi Mungu. Kwa muda mchache ambao nimekuwa kazini kama mwl(1yr) nimeleta mabadiliko makubwa kitaaluma na mfumo mzima wa kiuongozi wa shule na matunda zaidi yanazidi kujitokeza hasa kwnye mitihani ya ndani na nje. Je nitatimizaje ndoto yakuwa afisa elimu ili nioneshe zaidi kipaji changu kwa kuongoza wilaya ili ije kuwa mfano?