Piga kazi wewe acha kubwabwaja, mwaka mmoja kazini then unataka cheo kama hicho. Ningekuwa mkuu wako wa shule ningekuteua mwalimu wa darasa form II B.
Mabadiliko gani? Shule gani? Mkuu Mwanamalundi,tafadhali fika hapa uone jinsi Waalimu wanavyopenda pesa kuliko kazi...
Kama ni kweli hapo ulipo naona unatumika vizuri komaa hapo hapo nadhani ndo utawasidia vizuri,kama nia yakokweli ni kuwasaidia watzMkuu alinipa umakamu ndani ya miezi mi4. Nimefanya changes mpaka shule jirani wanakuja kujifunza kwetu....na hvi juzi nimeorganize training kwa walimu inayohusu ufundishaji kwa njia shirikishi kwani njia hizi ziki2mika vizuri humfanya mwanafunzi kuelewa zaidi kuliko ku2mia direct approach. Semina ilihudhuriwa na walimu wote wa wilaya akiwemo afisa elimu sekondari. Mbali na kuniingizia kipato lakini pia nataka wilaya ye2 iwe mfano kitaaluma ndiyo maana napenda zaidi niwe afisa elimu ili nisimamie elimu vizuri na kwa uhuru.
Mmetoa one ngapi mkuu na mekuwa wa Ngapi kitaifa kuna A ngapi za Sayansi na Hisabati?Mkuu alinipa umakamu ndani ya miezi mi4. Nimefanya changes mpaka shule jirani wanakuja kujifunza kwetu....na hvi juzi nimeorganize training kwa walimu inayohusu ufundishaji kwa njia shirikishi kwani njia hizi ziki2mika vizuri humfanya mwanafunzi kuelewa zaidi kuliko ku2mia direct approach. Semina ilihudhuriwa na walimu wote wa wilaya akiwemo afisa elimu sekondari. Mbali na kuniingizia kipato lakini pia nataka wilaya ye2 iwe mfano kitaaluma ndiyo maana napenda zaidi niwe afisa elimu ili nisimamie elimu vizuri na kwa uhuru.
Nimewapata wadau, lakini ndani ya mwaka mmoja nimekuwa mfanyakazi bora wa kanda, naamini ipo siku nitakuwa afisa elimu
Mkuu alinipa umakamu ndani ya miezi mi4. Nimefanya changes mpaka shule jirani wanakuja kujifunza kwetu....na hvi juzi nimeorganize training kwa walimu inayohusu ufundishaji kwa njia shirikishi kwani njia hizi ziki2mika vizuri humfanya mwanafunzi kuelewa zaidi kuliko ku2mia direct approach. Semina ilihudhuriwa na walimu wote wa wilaya akiwemo afisa elimu sekondari. Mbali na kuniingizia kipato lakini pia nataka wilaya ye2 iwe mfano kitaaluma ndiyo maana napenda zaidi niwe afisa elimu ili nisimamie elimu vizuri na kwa uhuru.