kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Mar 11, 2013 #21 Malolella said: Nimewapata wadau, lakini ndani ya mwaka mmoja nimekuwa mfanyakazi bora wa kanda, naamini ipo siku nitakuwa afisa elimu Click to expand... Hapa hujasema kweli! huo utaratibu wa mfanyakaz bora kikanda ulifanyikaje? kanda ipi? kuwa wazi
Malolella said: Nimewapata wadau, lakini ndani ya mwaka mmoja nimekuwa mfanyakazi bora wa kanda, naamini ipo siku nitakuwa afisa elimu Click to expand... Hapa hujasema kweli! huo utaratibu wa mfanyakaz bora kikanda ulifanyikaje? kanda ipi? kuwa wazi
M Molembe JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 9,917 Reaction score 11,801 Mar 11, 2013 #22 Hao ndo walimu wetu wanaofundisha wakiwaza vyeo kwanini mwakani zero zisiwe 90%.