Nataka kuwa maarufu

Usha kuwa maarufu si wengi tunajadili mada yako
Nimeshasema sitaki umarufu wa mda mfupi wa kubenea wa kuwashika shanga wanawake nataka umarufu wa mda mrefu hadi ikulu inijue kuwa nami ni mtata watu waniangalie kwenye taarifa ya saa mbili na sanne kwa siku mbili mfululizo
 
Nimeshasema sitaki umarufu wa mda mfupi wa kubenea wa kuwashika shanga wanawake nataka umarufu wa mda mrefu hadi ikulu inijue kuwa nami ni mtata watu waniangalie kwenye taarifa ya saa mbili na sanne kwa siku mbili mfululizo
Kwani we umejipangeje kwa hilo?
 
Hzo bangi ulizovuta zinakupeleka pabaya sana...tafuta FEDHA
 
Kampige kibao mtakatifu...
 
Kazuie msafara wa rais barabarani yaani unakaa katikati ya barabara ili msafara usipite
 
Wewe hata usiteseke.
Vua nguo tembea uchi.
Utakuwa maarufu hadi utajuta
 
Mtafute dogo mmoja anaitwa james delicious.anafaham njia nzuri ya kupata umaharufu
 
tafuta wakukufumua marinda hadharani kisha rusha katika mitandao ya kijamii, au mpelekee zamaradi mketema, usipokuwa maarufu jipigee risasi
 
Gawa Tigo.alafu useme umelawitiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…