Hahahahahahaha!Eti atakuwa bidhaa!Mwaya mdogo wetu fanya hii biashara itakutoa sana,jidamke asubuhi na mapema kama mkuu alivyoshauri ukafate hizo bidhaa huko ulipoelekezwa kisa uanze kazi!Hata mchicha ulianza kama mbuyu,eehe sorry,hata mbuyu ulianza kama mchicha!Tanguliza na sala pia,bila nguvu za mungu mwenyewe hutoweza!
Ila mkuu umenichekesha,eti vinginevyo wewe ndo utakuwa bidhaa,hahahππππ