Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye dawa au ushauri nitumie kitu gani niwe na ngozi laini isiwe nyeusi maana nilikuwa na chunusi[emoji12]
Kaoge maji ya maharageMwenye dawa au ushauri nitumie kitu gani niwe na ngozi laini isiwe nyeusi maana nilikuwa na chunusi[emoji12]
Badilishaneni ngoziDuh..wengine wanataka weupe wengine tunalilia weusi.....anyways nasikia director joan ndo mkali wao...mwone huyo
tupe mrejeshoMwenye dawa au ushauri nitumie kitu gani niwe na ngozi laini isiwe nyeusi maana nilikuwa na chunusi[emoji12]
Hiii haikufanyi kuwa mweupe...Mimi naitumiadera cream kwa director joan
ipi inakufanya kuwa mweupeHiii haikufanyi kuwa mweupe...Mimi naitumia