Juma WALEO
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 204
- 40
Napenda niwe na uso wa kungaa halaf uwe soft bila make up yaan hata nkitoka kuoga tu nangaa
Napenda niwe na uso wa kungaa halaf uwe soft bila make up yaan hata nkitoka kuoga tu nangaa
halafu unajua huyo ni juma ndo anayetaka uso soft na kung'aa!Mungu wangu ..............
halafu unajua huyo ni juma ndo anayetaka uso soft na kung'aa!
Preta umemuona jina lake anayetaka uso soft kabla ya kumpa ushauri
Mi nahamia Uganda nadhani huku Tz nimesingiziwa.......Ila jamani unaweza kuta ni "Ke" Anatumia ID ya Juma sema leo kajisahau kama alikuwa anatumia Id ya mwanaume....Kaumbuka ila kama ni mwanaume kazi ipoDah!Mkuu we acha tu
Sijui tutakuwa nataifa la watu wa aina gani siku zijazo
Kijana unataka kuwa na uso soft?
Na dada zako wasemeje?
Thats my boyTafuta pesa kama wewe ni (me) huku kwenye michakato utakutana na yoote hayo kuanzia complexion ya usoni mpaka kucha za miguu!!!!!!
Siku ukiona wanaokutegemea wako na furaha na wana enjoy uwepo wako basi automatically utaridhika tu utalala pazuri,kula pazuri achilia mbali body products zenye hadhi na ubora ambazo zitaleata tu hiyo complexion unayoiota! !!!!!!!
Kama wewe ni mwananaume mwenzangu na kijana asee komaa na kujenga uchumi achana na kukomalia muonekano sijui nikitoka kuoga ooonh nikiwa kitandani!!!!!
After all hata ukiwa na muonekano mzuri halafu wanaokutegemea wanateseka we unaona fahari gani????!!
Wakubwa Babu D.C. Kaizer, Asprin, The Boss mshaurini huyu mtoto wa kiume!!!