Nipatie chupa moja nimpelekee yule mzee mwenzangu mjane 60 + πNiende kwenye mada moja kwa moja.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikifanya mazoezi ya kunena kwa lugha na nimeshaanza kuweka stock ya mafuta ambayo yatakuwa ya upako nitapomaliza kuyaombea.
Hii imetokana na mwito ndani yangu ambao umekuwa ukinithibitishia kabisa kwamba mie nina karama na talanta ya unabii
Kwa kuanzia nimeanza kufanya miujiza midogo midogo ambayo nitawajia kwenye comment na wale wenye mwito kama wangu mniambie ni mwelekeo upi nitaikuza miujiza yangu
Fanya muujiza ccm itoke madarakani
Mshangazi nabii π² π² π²Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikifanya mazoezi ya kunena kwa lugha na nimeshaanza kuweka stock ya mafuta ambayo yatakuwa ya upako nitapomaliza kuyaombea.
Hii imetokana na mwito ndani yangu ambao umekuwa ukinithibitishia kabisa kwamba mie nina karama na talanta ya unabii
Kwa kuanzia nimeanza kufanya miujiza midogo midogo ambayo nitawajia kwenye comment na wale wenye mwito kama wangu mniambie ni mwelekeo upi nitaikuza miujiza yangu
Nabii haombi kuwa, nabii hasomei, nabii hajadiliwi kwenye vikao. Nabii haandiki barua. Ila anachaguliwa na MUNGU na wakati mwingine anakataa ila humlazimu. Wengine matapeli tu.Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kwa wiki kadhaa sasa nimekuwa nikifanya mazoezi ya kunena kwa lugha na nimeshaanza kuweka stock ya mafuta ambayo yatakuwa ya upako nitapomaliza kuyaombea.
Hii imetokana na mwito ndani yangu ambao umekuwa ukinithibitishia kabisa kwamba mie nina karama na talanta ya unabii
Kwa kuanzia nimeanza kufanya miujiza midogo midogo ambayo nitawajia kwenye comment na wale wenye mwito kama wangu mniambie ni mwelekeo upi nitaikuza miujiza yangu
Nabii haombi kuwa, nabii hasomei, nabii hajadiliwi kwenye vikao. Nabii haandiki barua. Ila anachaguliwa na MUNGU na wakati mwingine anakataa ila humlazimu. Wengine matapeli tu.
Kumbuka Eliya mtishibi alikuwa profesa katika chuo Cha manabiiNabii haombi kuwa, nabii hasomei, nabii hajadiliwi kwenye vikao. Nabii haandiki barua. Ila anachaguliwa na MUNGU na wakati mwingine anakataa ila humlazimu. Wengine matapeli tu.
Kabla hajawa professor tayari alikwishaitwa na MUNGU kuwa nabiiKumbuka Eliya mtishibi alikuwa profesa katika chuo Cha manabii