Nataka kuwa Tajiri kupitia Barber Shop

Nataka kuwa Tajiri kupitia Barber Shop

Ok, Niko Chuo, nimejipanga nikapata Million moja na Laki mbili, nataka nifungue Barber Shop (Salon ya kiume) kwa hiyo Pesa katika eneo zuri kisha nitaiboresha taratibu; Mlango wa Alluminium - 300,000/=
Mashine mbili - 200,000/=
Kiti kimoja (cha kawaida) - 100,000/=
Vioo na Mapambo - 200,000/=
Sofa la wateja - 200,000/=
TV ndogo - 200,000/=
Hiyo ni bajeti ninayo ifikiria. Vipi jamani hii biashara itanitoa? Kwa mwenye ushauri na mawazo namkaribisha.
Ahsante
Ulishafungua?
 
Back
Top Bottom