Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Usisahau kutumia na sufuria katika Avatar yako.......
Sawa sawa nitafuatilia hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kutumia na sufuria katika Avatar yako.......
Ulishafungua?Ok, Niko Chuo, nimejipanga nikapata Million moja na Laki mbili, nataka nifungue Barber Shop (Salon ya kiume) kwa hiyo Pesa katika eneo zuri kisha nitaiboresha taratibu; Mlango wa Alluminium - 300,000/=
Mashine mbili - 200,000/=
Kiti kimoja (cha kawaida) - 100,000/=
Vioo na Mapambo - 200,000/=
Sofa la wateja - 200,000/=
TV ndogo - 200,000/=
Hiyo ni bajeti ninayo ifikiria. Vipi jamani hii biashara itanitoa? Kwa mwenye ushauri na mawazo namkaribisha.
Ahsante