ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wakuu samahanini kwa kuwasumbua akili.kifupi nataka kujua watu wangu ambao tunaenda nao sawa humu ndani na wale ambao hawanifagilii
Kama una yakubali madini yangu sio miyeyusho andika "1"
Kama unaona nachotema humu ndani Ni ushubwada mtupu andika "0"
Kama una yakubali madini yangu sio miyeyusho andika "1"
Kama unaona nachotema humu ndani Ni ushubwada mtupu andika "0"