Nataka kuweka mzigo wangu Finca Bank

Weka. Microfinance bank ni ngumu sana kufilisika kwa vile loan size ni ndogo.
Ingekuwa ni corporate bank sikushauri. Corporate bank inaweza kumkopesha mteja mmoja bilioni 30. Akizama, anazamisha benki nzima.
 
Yani hata ukichukua million 32 ukachukua bajaji 4 ukatoa mkataba wa 2 years kwa madereva kila siku wanaleta cashing ya 20,000 × 4 =80,000
kwa miezi 24 ...inakuja total almost 55 million ukitoa na capital yake ....faida kama 20million.


ACHA UJINGA CHUKUA BAJAJI 4 KATIA COMPREHENSIVE INSURANCE CHENJI KULA BHATA NA TOTOS

utakuja kunishukuru
 
sitaki hata kusikia habari za kununua mapikipiki kumpa mtu sijuiii aniletee pesa hapana mkuu

sio kila anaeweka pesa bank fixed hana biashara, ninazo biashara zinaniingizia pesa nzuru tu.

huku fixed tunatafuta ziadaa tu pesa isikae bure bank
 
Weka. Microfinance bank ni ngumu sana kufilisika kwa vile loan size ni ndogo.
Ingekuwa ni corporate bank sikushauri. Corporate bank inaweza kumkopesha mteja mmoja bilioni 30. Akizama, anazamisha benki nzima.
sawa mkuu
 
Acha ujinga bora uchukue million 10 ufungue office ya mikopo ndan ya miezi 6 pesa ina uhakika wa kurud na kubaki unakula faida narudia acha ujinga yaaan uweke 50m kwa return ya 7m kwa miez 12 huo ni uzwazwa amkaaaaa amkaaaaaa amkaaaaaaaaaaaaa
nitafatilia kiundani hii
 

Upo sahihi, hawawezi kufilisika ndani ya mwaka mmoja na hapo utakuwa tayari umeshanyaka 7m.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…