Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Inategemea vifaa unavyonunua ni vipi na ukubwa wa godauni, inaweza ikafika na ikapita au isifike kabisaNataka kuweka umeme kwenye godown langu la kuhifadhi nafaka. Je wiring ya mwanzo inakimbilia kwenye laki tano au mafundi wananipiga
Ukisha towa kaz wee angalia ubora wakaz yako ayo za bei achananayo kkubwa kaz imefanyka vzr?Nataka kuweka umeme kwenye godown langu la kuhifadhi nafaka. Je wiring ya mwanzo inakimbilia kwenye laki tano au mafundi wananipiga