Nataka kuwekeza kwenye hisa

Nataka kuwekeza kwenye hisa

afande kifimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2015
Posts
6,303
Reaction score
2,716
Salaam wadau, hoja yangu ni kuomva msaada wa ushauri....as of recent situation ya uchumi wa nchi na makampuni ya sector mbalimbali kuyumba yumba...
JE ni muda mzuri kununua hisa au timing sio nzuri...je na kama nataka kununua hisa ni sector gani inafaa kwa sasa au kampunibza aina gani zinafaa kwa sasa angalu kwa sekta zake......
Nimekuwa interested na hisa..japo nimeona jarida moja faida za CRDB zilishuka kwa mwaka 2016 ikimaanisha gawio limekuwa chini....
Kikubwa ni je ni muda inaofaa kunumua hisa au nisubiri kwanza....kama yes sekta gani mnanishauri kununua.....au la je nisubiri kwa kuangalia kitu gani katika uchumi wa nchi au makampuni....

Shukrani in Advance
 
Salaam wadau, hoja yangu ni kuomva msaada wa ushauri....as of recent situation ya uchumi wa nchi na makampuni ya sector mbalimbali kuyumba yumba...
JE ni muda mzuri kununua hisa au timing sio nzuri...je na kama nataka kununua hisa ni sector gani inafaa kwa sasa au kampunibza aina gani zinafaa kwa sasa angalu kwa sekta zake......
Nimekuwa interested na hisa..japo nimeona jarida moja faida za CRDB zilishuka kwa mwaka 2016 ikimaanisha gawio limekuwa chini....
Kikubwa ni je ni muda inaofaa kunumua hisa au nisubiri kwanza....kama yes sekta gani mnanishauri kununua.....au la je nisubiri kwa kuangalia kitu gani katika uchumi wa nchi au makampuni....

Shukrani in Advance
Kwa uongozi wa mtu aliejiapiza kuwa matajiri wataishi kama mashetani, sahau neno kununua hisa za kampuni yoyote ile. Tangu aingie kibaruani soko la hisa ni moja kati ya sekta zilizodolola, vodacom tangu watu wanunue hisa hazijawahi kupanda wa kushuka zipo zipo. So kwa wale walionunua hisa means wamekula hasala maana wameweka mpunga mwingi lakin hakuna return.

Nakushauri tafuta business nyingine na si hisa/share. Au kama unabisha kamuulize Masha
 
Shares zinalipa kama una kichwa chepesi na mazingira ya kibiashara kua mazuri/rafiki. Ila kwa mtazamo wangu, usiwaze kuinvest katika shares nchini Tanzania.

Present business environment in Tanzania is not stable. At all. Shares zina drop sana kuliko kupanda, na kampuni nyingi zimepunguza annual production.

Itakula kwako vibaya sana. Bora fanya ishu nyingine.
 
Salaam wadau, hoja yangu ni kuomva msaada wa ushauri....as of recent situation ya uchumi wa nchi na makampuni ya sector mbalimbali kuyumba yumba...
JE ni muda mzuri kununua hisa au timing sio nzuri...je na kama nataka kununua hisa ni sector gani inafaa kwa sasa au kampunibza aina gani zinafaa kwa sasa angalu kwa sekta zake......
Nimekuwa interested na hisa..japo nimeona jarida moja faida za CRDB zilishuka kwa mwaka 2016 ikimaanisha gawio limekuwa chini....
Kikubwa ni je ni muda inaofaa kunumua hisa au nisubiri kwanza....kama yes sekta gani mnanishauri kununua.....au la je nisubiri kwa kuangalia kitu gani katika uchumi wa nchi au makampuni....

Shukrani in Advance
sikushauri mkuu kuwekeza kwenye hisa, afadhali uweke hata fixed deposit utakua na uhakika wa kupata faida ya pesa yako baada ya muda flan
 
Salaam wadau, hoja yangu ni kuomva msaada wa ushauri....as of recent situation ya uchumi wa nchi na makampuni ya sector mbalimbali kuyumba yumba...
JE ni muda mzuri kununua hisa au timing sio nzuri...je na kama nataka kununua hisa ni sector gani inafaa kwa sasa au kampunibza aina gani zinafaa kwa sasa angalu kwa sekta zake......
Nimekuwa interested na hisa..japo nimeona jarida moja faida za CRDB zilishuka kwa mwaka 2016 ikimaanisha gawio limekuwa chini....
Kikubwa ni je ni muda inaofaa kunumua hisa au nisubiri kwanza....kama yes sekta gani mnanishauri kununua.....au la je nisubiri kwa kuangalia kitu gani katika uchumi wa nchi au makampuni....

Shukrani in Advance
Sikushauri sana ununue hisa kwenye makampuni makubwa unless unapata ushauri kutoka kwa wataalamu wa biashara hizo kama Brother Salum Awadh wa SSC capital yuko vizuri sana

Next nakushauri uwe investor na sio stockist kwa sababu ukiwa investor una uwanja mpana wa kufanya control ya pesa zako
What to do find a small company startup ambayo unaona growth yake ni nzuri ongea nao elewa biashara yao na ingia nao mkataba wakupe share na pia uingie kwenye management ya hyo kampuni ndogo ili kusimamia pesa zako
Mfano unaweza kwenye kwa muuza chips unamuuliza kuhusu mauzo yake na changamoto zake za biashara na pia ww utaona huyu akiboresha kwenye kiti hiki atapata wateja wengi zaidi na faida itaonekana so unakaa nae chini unaweka pesa zako unaboresha biashara yake na ww unapata faida kutokana na biashara yake kuimarika (kama alikuwa anafunga chips kwa rambo mpe foil [emoji3]) wateja wataongezeka

Goo into agriculture kuna vijana wana utaalamu wa kilimo lakn hawana mtaji unaweza kuwatafuta ukakaa nao unawapa capital mnaingia mkataba wao wanasimamia huku ww ukifanya monitoring na kinachopatikana mnagawana

Na biashara nyingine nyingi ambazo unaweza kuona growth yake na uweke pesa yako
Note: usije ukawekeza kwenye biashara ambayo faida yake ni ndogo sana kwa mfumo huu

Pia unaweza kuwa angel investor , venture capitalist etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shares zinalipa kama una kichwa chepesi na mazingira ya kibiashara kua mazuri/rafiki. Ila kwa mtazamo wangu, usiwaze kuinvest katika shares nchini Tanzania.

Present business environment in Tanzania is not stable. At all. Shares zina drop sana kuliko kupanda, na kampuni nyingi zimepunguza annual production.

Itakula kwako vibaya sana. Bora fanya ishu nyingine.

Wakati soko ni baya namna ndio muda wa kununua kwa wingi!

Mpaka jiwe anaondoka 2025,utaweza vuna vitu vya ajabu mkuu maana zitashoot kupita maelezo!
 
Nilinunua HISA za Vodacom za kama milioni 7 mwaka 2016. Ni mwanzoni mwa Dec ya mwaka huu nilipopata the so called "VODACOM Dividend no.2 payment" ya shilingi 102,073.70/=. So, "uwekezaji" wa kwenye HISA sio wa kukulipa harakaharaka. Unachoweza kufanya ni kusubiri miaka ya kutosha sana, ukiomba bei ya hisa ipande.
 
Sikushauri sana ununue hisa kwenye makampuni makubwa unless unapata ushauri kutoka kwa wataalamu wa biashara hizo kama Brother Salum Awadh wa SSC capital yuko vizuri sana

Next nakushauri uwe investor na sio stockist kwa sababu ukiwa investor una uwanja mpana wa kufanya control ya pesa zako
What to do find a small company startup ambayo unaona growth yake ni nzuri ongea nao elewa biashara yao na ingia nao mkataba wakupe share na pia uingie kwenye management ya hyo kampuni ndogo ili kusimamia pesa zako
Mfano unaweza kwenye kwa muuza chips unamuuliza kuhusu mauzo yake na changamoto zake za biashara na pia ww utaona huyu akiboresha kwenye kiti hiki atapata wateja wengi zaidi na faida itaonekana so unakaa nae chini unaweka pesa zako unaboresha biashara yake na ww unapata faida kutokana na biashara yake kuimarika (kama alikuwa anafunga chips kwa rambo mpe foil [emoji3]) wateja wataongezeka

Goo into agriculture kuna vijana wana utaalamu wa kilimo lakn hawana mtaji unaweza kuwatafuta ukakaa nao unawapa capital mnaingia mkataba wao wanasimamia huku ww ukifanya monitoring na kinachopatikana mnagawana

Na biashara nyingine nyingi ambazo unaweza kuona growth yake na uweke pesa yako
Note: usije ukawekeza kwenye biashara ambayo faida yake ni ndogo sana kwa mfumo huu

Pia unaweza kuwa angel investor , venture capitalist etc

Sent using Jamii Forums mobile app
asante sana mkuu..umenipa wide ideas nazidi kupata maarifa
 
Kwa uongozi wa mtu aliejiapiza kuwa matajiri wataishi kama mashetani, sahau neno kununua hisa za kampuni yoyote ile. Tangu aingie kibaruani soko la hisa ni moja kati ya sekta zilizodolola, vodacom tangu watu wanunue hisa hazijawahi kupanda wa kushuka zipo zipo. So kwa wale walionunua hisa means wamekula hasala maana wameweka mpunga mwingi lakin hakuna return.

Nakushauri tafuta business nyingine na si hisa/share. Au kama unabisha kamuulize Masha
Good niliwahi waza kuhusu mashirika sa hv mengi yanapunguza watu nk. so i get you shukrani sitakurupuka ila naona situation kweli sio
 
Shares zinalipa kama una kichwa chepesi na mazingira ya kibiashara kua mazuri/rafiki. Ila kwa mtazamo wangu, usiwaze kuinvest katika shares nchini Tanzania.

Present business environment in Tanzania is not stable. At all. Shares zina drop sana kuliko kupanda, na kampuni nyingi zimepunguza annual production.

Itakula kwako vibaya sana. Bora fanya ishu nyingine.
NOTED WELL THANK YOU
 
Nilinunua HISA za Vodacom za kama milioni 7 mwaka 2016. Ni mwanzoni mwa Dec ya mwaka huu nilipopata the so called "VODACOM Dividend no.2 payment" ya shilingi 102,073.70/=. So, "uwekezaji" wa kwenye HISA sio wa kukulipa harakaharaka. Unachoweza kufanya ni kusubiri miaka ya kutosha sana, ukiomba bei ya hisa ipande.
NOTED inahitaji uvumilivu pia maana ni long term investment
 
Wakati soko ni baya namna ndio muda wa kununua kwa wingi!

Mimi nakubaliana na wewe huu ndio wakati wa INVESTORS wa kweli wa stocks kununua!!! Hao wanaosema usinunue ni speculators ambao wananunua leo na baada ya muda mfupi wanauza ili kupata faida chapu chapu; lakini wale wanaoinvest kwenye stocks na kufaidi faida ni wale wanao wekeza kwa muda mrefu [ Long term investors]!!!
 
Mimi nakubaliana na wewe huu ndio wakati wa INVESTORS wa kweli wa stocks kununua!!! Hao wanaosema usinunue ni speculators ambao wananunua leo na baada ya muda mfupi wanauza ili kupata faida chapu chapu; lakini wale wanaoinvest kwenye stocks na kufaidi faida ni wale wanao wekeza kwa muda mrefu [ Long term investors]!!!
Good napokea mawazo yenu wote kisha kufanyia kazi after some time i will decide whats the move
 
Ukitaka kuona faida ya hisa kwa haraka ingiza mtaji mkubwa na iwe kwene kampuni inayofanya vizuri sokoni kama TBL, kwa mfano ukinunua hisa za 10m kwa shs 500 kwa hisa inamaana bei ya hisa ikipanda hadi 1000 ina maana utakuwa na faida ya 10m, pia kwenye gawio mwenye mtaji mkubwa ndio anapata nyingi.
 
Back
Top Bottom