Nataka kuzalishwa, mtoto nitalea mwenyewe.

Haya ndio mambo ya science na technologia! Duuh! Hizi offer za aina hii mbona adimu. Tatizo ni mzungu...kama mimi nimuhindi au muarabu inakuwaje?
 
Haya ndio mambo ya science na technologia! Duuh! Hizi offer za aina hii mbona adimu. Tatizo ni mzungu...kama mimi nimuhindi au muarabu inakuwaje?

kama wewe muhind/arab means ushakuwa disqualified
 
hivi mbeleni akikuuliza baba yuko wapi utasemaje?au unataka kufanya mambo ili uonekane mmagharibi!nakushauri umuone psychologist atakusaidia mawazo mazuri kabla ya kuamua kupata toto lisilo na baba.
Hapa nitaingila kati. Kwa heshima zote. Una maana gani unaposema toto lisilo na baba? Baba ana maana gani kwa mtoto ikiwa hapana upendo? Kuna watoto wangapi (Tz na penginepo) ambao wana baba walevi, wakorofi, wanyanyasaji? Kwa ni hatukubali kuwa watoto wetu wengi wamelelewa na mama tu, baba akiwepo ni kama "mzalishaji tu" lakini hawana faida yoyote? Kwa nini mwanamke hawezi kulea mtoto peke yake?
Kuhusu iwapo mtoto atauliza baba yuko wapi, la kufanya ni kumwambia ukweli tu na wala sio kumdanganya.
Ni mawazo yangu tu, naomba nisieleweke vibaya.
 
Husninyo, chotara la Kisomali atafaa? Kama sawa, ni pm tumalize hii kazi mara moja. I promise not to love you. But to get a baby out of you.
 
Hapa nashangaa kama unamfanisha mtoto aliyefiwa na wazazi na huyu ambae leo unataka kwa ubinafsi wako tu akaose malezi ya Baba na mama> Hilo la kufiwa na wazazi hata Mungu anajua. Je na wewe unataka kusema mtoto aliyefiwa na wazazi ni sawa na yule ambaye ametelekezwa na wazazi?
umeona eeh! Watu wamekariri formula. Kuna wengine wanafiwa na mzazi mmoja tangu wadogo kabisa ila malezi yao yanaenda fresh na mzaz huyo huyo mmoja.
 
pesa,elimu hapa unajibalaguza,panda ndege wapelekee biashara mbele.Mwenye nazo hatangazi acha mishauo kwenye pc,
 
nunua sperm kwenye internet.sinauzwa za kila aina.na huyo baba hutomjua maisha kwa ni sperm tu kwa kwenda mbele.zipo salama kabisa
Kumbuka Anahitaji za kuingizwa kwa njia ya kawaida ambayo muumba aliwekea wanadamu (i.e. Physically Mzung awajibike kuzipandikiza) sidhani kama hizo za kununua atazifurahia
 
Hii poa sana aisee we nenda tu usiulize maadamu ushaamua bwana
 
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
Husninyo , Kumbuka watoto wakifikia umri furani huanza kuulizia baba ..., remember, Dads do make a Difference ...
 
MAMMAMIA, kwa post hii mhitaji anataka akipata mimba baba asijuane naye , kila mtu kivyake, kwa maana hiyo mtoto ananyimwa nafasi ya kuwa na baba yake tokea siku anapotinga tumboni mwa mama yake , hiio sidhani kama unaweza kulinganisha na hao wa kutelekezwa kwa makusudi na baba zao na kujikuta wanalelewa na mama peke yake.
 
Kujiuza kwenye mitandao ndio huku,je ukinogewa na midola yake si utakaza buti, pm tumalize kesi na pesa unazo za diaper
 
tatizoo unataka chotaraa...njoo arusha,place inaitwa masaii camp utachakachuliwaa na mzungu bureeee kabisa na utaa jaa hata double machotara,then muzungu hutaaa muona tena?ila napenda ni kwaniniii umeamuaa kuzaa na mzungu ili halii wako machotara piaa?
 
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
Mimi iko zungu sasa! sema iko taka toto wewe?.
 
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.

The good way is you may buy sperms from the sex clinics shops ambazo zimepimwa kabisa. Pia unaamua mtoto wa aina gani wa kilatino mwenye nywele za carl, mwanamme au jike: na urefu wa babake au mamake: au zungu linalong'aa na nywele za blondy? Pia inategemea na matunzo huwa wanasema kama ni wa nywele za carl basi mimi nakushari ingia mtandaoni na pia family benefit ikoje na nchi unayoishi, kwa sasa sijui waishi wapi. Kama ni bongo du kwani pia utahitaji social network group of similar interest za watoto wa aina hiyo kwani wanakuwa wakorofi pindi wanapogundua wako tofauti na wenziwe hasa wakiwa shule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…