njoo nikuzalishe_tatizo cna upendo ivo cjui kama nitakufaa?
Hapa nitaingila kati. Kwa heshima zote. Una maana gani unaposema toto lisilo na baba? Baba ana maana gani kwa mtoto ikiwa hapana upendo? Kuna watoto wangapi (Tz na penginepo) ambao wana baba walevi, wakorofi, wanyanyasaji? Kwa ni hatukubali kuwa watoto wetu wengi wamelelewa na mama tu, baba akiwepo ni kama "mzalishaji tu" lakini hawana faida yoyote? Kwa nini mwanamke hawezi kulea mtoto peke yake?hivi mbeleni akikuuliza baba yuko wapi utasemaje?au unataka kufanya mambo ili uonekane mmagharibi!nakushauri umuone psychologist atakusaidia mawazo mazuri kabla ya kuamua kupata toto lisilo na baba.
umeona eeh! Watu wamekariri formula. Kuna wengine wanafiwa na mzazi mmoja tangu wadogo kabisa ila malezi yao yanaenda fresh na mzaz huyo huyo mmoja.
Kumbuka Anahitaji za kuingizwa kwa njia ya kawaida ambayo muumba aliwekea wanadamu (i.e. Physically Mzung awajibike kuzipandikiza) sidhani kama hizo za kununua atazifurahianunua sperm kwenye internet.sinauzwa za kila aina.na huyo baba hutomjua maisha kwa ni sperm tu kwa kwenda mbele.zipo salama kabisa
Husninyo , Kumbuka watoto wakifikia umri furani huanza kuulizia baba ..., remember, Dads do make a Difference ...Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
MAMMAMIA, kwa post hii mhitaji anataka akipata mimba baba asijuane naye , kila mtu kivyake, kwa maana hiyo mtoto ananyimwa nafasi ya kuwa na baba yake tokea siku anapotinga tumboni mwa mama yake , hiio sidhani kama unaweza kulinganisha na hao wa kutelekezwa kwa makusudi na baba zao na kujikuta wanalelewa na mama peke yake.Hapa nitaingila kati. Kwa heshima zote. Una maana gani unaposema toto lisilo na baba? Baba ana maana gani kwa mtoto ikiwa hapana upendo? Kuna watoto wangapi (Tz na penginepo) ambao wana baba walevi, wakorofi, wanyanyasaji? Kwa ni hatukubali kuwa watoto wetu wengi wamelelewa na mama tu, baba akiwepo ni kama "mzalishaji tu" lakini hawana faida yoyote? Kwa nini mwanamke hawezi kulea mtoto peke yake?
Kuhusu iwapo mtoto atauliza baba yuko wapi, la kufanya ni kumwambia ukweli tu na wala sio kumdanganya.
Ni mawazo yangu tu, naomba nisieleweke vibaya.
Mimi iko zungu sasa! sema iko taka toto wewe?.Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.