Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Mbona umeishia tu kutoa pongezi amna la maana uliloandika, kwani mtoa mada kasema ana shida na pongezi
Great Point.Mkuu kwanza nikupongeze kwa mtaji ulionao unatosha kabisa hata kama ungekuwa na milioni 4 asije MTU yeyote akukubeza na mtaji wako, maana MTU ukimwambia unataka kuanzia biashara atakwambia uanze na bilioni mbili,ni wapuuzi watu hao wapuuzie
Faiza ni yule demu wa sugu sio?Kwanza hongera sana...
Ushauri wangu kwako ni kwamba ungepata agents au wakala mwamimifu wa huko dubai au china akununulie mzigo atume au kama unaweza kuagiza mtandaoni mfano alibaba wanauza simu za jumla kwa bei nzuri mnoo ila unapaswa kuwa makini
NB;mitandaoni napo si salama wahitaji umakini ukiagiza kwa mtandao maana utapeli wizi na vitu feki ni vingi
Pia maagents nao sio waaminifu mimi sifaham hili ila nilimuona faiza aly kule insta akitumia watu mizigo yao kutoka huko china
Kwa hiyo unamshauri akanunue simu za kuuza kwa mafungu au kilo?Usikatishwe tamaa na ndugu zako hapo juu.hiyo 20mil ni pesa ndefu. Wengi wao wanakupigia masimu ya 200k ambayo Kwa ujumla soko lake wewe mwenyewe unalijua, Kwa hicho kiwango ni wastan wa USD 8600. Hata ukisema utenge pesa ya mzigo Tu USD 4500 itatosha kabisa kununua mzigo. Ukisema uchukue headphone, chaja, ni zile accessories nyingine Kwa usd 1000 Tu mzigo utaukimbia mwenyewe.
Naipongeza serikali ya awamo ya tano chini ya JPM kwa kutuletea kupatwa kwa jua huku mbeya.Ungeazisha na wewe Uzi wako!pilipili ya watu inakuwashia nini?
Kwa nini Dubai? nenda China tu...dubaii bei sio chini sana
Usikatishwe tamaa na ndugu zako hapo juu.hiyo 20mil ni pesa ndefu. Wengi wao wanakupigia masimu ya 200k ambayo Kwa ujumla soko lake wewe mwenyewe unalijua, Kwa hicho kiwango ni wastan wa USD 8600. Hata ukisema utenge pesa ya mzigo Tu USD 4500 itatosha kabisa kununua mzigo. Ukisema uchukue headphone, chaja, ni zile accessories nyingine Kwa usd 1000 Tu mzigo utaukimbia mwenyewe.
Nikweli bos kuagiza mzigo unasev naul,chakula namalazi ila kwenda kule pia kuna umuhimu mkubwa kwakuwa naamini nitajifunza mengi zaidiAgiza mzigo ukufuate apa acha ushamba
Kiongozi nenda china ndio uwakika. Na pia usikatishwe na hao GT P SALALY. Iyo ni pesa ndefu sana kwa kufanya bznes zako china.
Mm nilitishwa sana mwanzoni mwa mwaka huu kuhusu kufata mzigo flani Dubai hatare mara kwa mtaji huo ni nauli na malazi tu mara kama unaenda kutembea sawa.
Ila baada ya kufika nilicheka sana mambo yako tofauti kabisa. Na kila mfanya bznes kama yangu nilie kutana nae na wazoefu uko Dubai wanasema mbona umekuja na kiasi kingi kwa bznes hii.
Tafta marifa sahihi kisha lianzishe mdau. Pambana tu kiongozi
Umesoma hadi darasa la ngapi wewe? Unashindwa kutofautisha matumizi ya L na R, hizo pesa si utaenda kupoteza tu huko?
good idea...20m ndo uende Dubai au china?
au unataka kwenda kutembea?
simu aina gani? kama unanua smart phone za laki mbili 20 unanunua simu ngapi?
una duka atayari au ununue ndo uanze tembeza?
Binafsi naona tafuta biashara ingine hapa ya uhakika mtaji hata 15m
5m nenda Dubai katembee ujionee na ujifunze
15 M hata Kkoo kwa wauzaji wa jumla unaweza pata faida
Kiongozi nenda china ndio uwakika. Na pia usikatishwe na hao GT P SALALY. Iyo ni pesa ndefu sana kwa kufanya bznes zako china.
Mm nilitishwa sana mwanzoni mwa mwaka huu kuhusu kufata mzigo flani Dubai hatare mara kwa mtaji huo ni nauli na malazi tu mara kama unaenda kutembea sawa.
Ila baada ya kufika nilicheka sana mambo yako tofauti kabisa. Na kila mfanya bznes kama yangu nilie kutana nae na wazoefu uko Dubai wanasema mbona umekuja na kiasi kingi kwa bznes hii.
Tafta marifa sahihi kisha lianzishe mdau. Pambana tu kiongozi
Kamuone jamaa wa silent ocean
Nakutumia namba pm
Ila ujiandae kuhojiwa takukuru ela umetoa wapi
Mambo ni mengi njoo pm nikuambie ila Mimi mvivu kuandika ingekuwa kuna option ya voice ningeongea
Waweke bnaNishawhi kuwasmbia mods waiboreshe jf waweke option ya sauti ila kuna mbwa mmoja akaropoka akauliza unataka voice note we kasuku?