Nataka kwenda kuwekeza kampuni ya ujenzi nje ya Tanzania ni nchi gani nzuri na taratibu zake zipoje kwa muwekezaji mgeni?

Nataka kwenda kuwekeza kampuni ya ujenzi nje ya Tanzania ni nchi gani nzuri na taratibu zake zipoje kwa muwekezaji mgeni?

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nipeni mawazo nikawekeze nchi gani,wajuzi mtupe taratibu za uwekezaji wa kamapuni ya Building and Civil katika nchi husika.
 
Mkuu kwanini Jambo hilo usilifanye hapa hapa Nyumbani Tanzania maana utasaidia Sana kupunguza tatizo la ajira kwa vijana wengi wasio na kazi.
 
Back
Top Bottom