johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa kawaida ninavyoenda Moshi na Arusha huwa natumia mabasi ya Dar Express, kiukweli vile visu viko very comfortable.
Je, Dar - Mbeya - Tunduma kuna mabasi ya Scania? Haya ya Mchina mtu unafika ukiwa umechoka.
Bujibuji na Erythrocyte ushauri Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Je, Dar - Mbeya - Tunduma kuna mabasi ya Scania? Haya ya Mchina mtu unafika ukiwa umechoka.
Bujibuji na Erythrocyte ushauri Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!