Nataka kwenda zanzibar kuanzisha biashara mwenye uzoefu wa zanzibar au aliepo kule

Nataka kwenda zanzibar kuanzisha biashara mwenye uzoefu wa zanzibar au aliepo kule

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,965
Wakuu kama uzi unavyojieleza apo vipi zanzibar Kuna Lipa?
Kama una uzoefu na mazingira ya zanzibar kuhusu biashara tupeane news asanteni
 
Japo fursa ziko za hapa na pale lakini mkuu jamaa wale huko kwao wabaguzi sana hasa ukiwa unaitwa John, Joseph n.k, ila yako maeneo yaliyomchanganyiko na wabara kama Kiembe Samaki, Kwa Mchina na Jang'ombe huko kidogo waweza kufanikiwa
 
karibu Zanzibar,
huku biashara zinalipa mkuu, cha muhimu fanya research ya soko, na biashara unayotaka kuifanya, location nk.
 
Biashara gani? Tutajie aina ya biashara ili iwe vizuri kutoa comments zetu hapa.

Ila kwa sasa hali ya uchumi kwa Zanzibar ni mbaya mno.
 
Mimi nipo huku baba, jipange na uwe na mtaji mrefu maana zanzabr watalii n wengi, ubaguzi siyo WA kidini ila n WA Bara tu, ukiwa WA Bara unajulikana tu, n maisha ya zanzabr siyo rahisi n kupambn tu kaka
 
Back
Top Bottom