Pre GE2025 Nataka Lissu ashinde Ili akutane na ugumu aliokutana nao Magufuli kwenye kuongoza chama kilichojaa wala rushwa!

Pre GE2025 Nataka Lissu ashinde Ili akutane na ugumu aliokutana nao Magufuli kwenye kuongoza chama kilichojaa wala rushwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Kwa nini haujatueleza "tulale unono" mwagito?
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Na wewe tuondolee huu uduwanzi wako wa mwendazake kila siku shujaa shujaa wa nyoko?
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Badooo kwanza tupige kura yajayo tutajua..huko mbeleni
..
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahwhahahahahahahahahahahahhahqhwhwhahahahahahahahqhahqhqhwhwhwhwhahahahahahahahahahahahahahh, yaani ugumu mpaka sasa keshaupata, kuanzia ayatola mbowe mwenyewe anatamani bora zile risasi zake mbowe zingemuua maana lisu hana logic ni mropokaji siyo mtunza siri hahahaha na lisu naye anajuta kumjua ayatola mbowe mla rushwa mkubwa ndani ya NGO yao. Yaani kila mmoja anamfikiria Dkt Magufuli kwa muda wake anamkumbuka hahahahahahahahahahahahahahaha
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
huenda akashinda njaa clubhouse na mitandaoni na diasporas lakini sio kushinda uchaguzi, eti awe mwenyekiti wa Chadema Taifa,

wajumbe wamekataa kuongozwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na hilo liko wazi gentleman,

na kwenye uongozi hakuna ugumu wowote, wa kupambana na chochote, ikiwa tu na una mipango mikakati mizuri na ya maana kukabiliana na jambo Fulani 🐒
 
Mlaumu aliyekuuzia Cheti Feki 😂
Aliyekuwa na PhD fake ni huyo shujaa uchwara wako ndiyo maana akamuua Ben Saanane baada ya kumuumbua. Walionunua vyeti feki ni nyie mliokuwa mnaishi kwa kuajiriwa na serikali maisha ambayo sikuyaishi.
 
Aliyekuwa na PhD fake ni huyo shujaa uchwara wako ndiyo maana akamuua Ben Saanane baada ya kumuumbua. Walionunua vyeti feki ni nyie mliokuwa mnaishi kwa kuajiriwa na serikali maisha ambayo sikuyaishi.
Kubenea alisema alimkuta Ben kwenye Maktaba ya Chadema anasoma vitabu

Labda utujuze Maktaba ya Chadema iko wapi 😂
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
downloadfile-1.jpg
 
Mshana Jr inabidi jina lako tukuite Mushana Jur hahahaha yaani mmepambania NGO yenu hatimaye ndiyo mnakuja kungundua ni mali ya mangi mbowe hahahaha poleni sana. Sisi CCM tunasubiri tifutifu letu mwakani najua kitakuwa kivumbi balaa ila sisi hatuna ujinga ka wenu wakudhalilishana yaani mambo ya sirini kwenye vikao unamwaga ka mchele kwa kuku yaani mpaka tumejua kumbe mbowe ndiye alituma watu kumuua mzee kibao na ndiye alituma watu kumimina risasi kwa lisu hahahaha yaani yajayo yanafurahisha mno. Naamini baada ya uchaguzi mbowe anatakiwa akamatwe kwa mauaji ya chach wangwe, mzee kibao na la kumtwanga risasi lisu
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Wapiga kura ni Mch Msigwa,Dr Slaa,Maria wa Club house ......Sioni huyu Mpiga kelele akishinda.
 
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa

Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Habari ya Njombe! Hebu urudi hata na kiguduria kimoja cha ulanzi aisee
 
Back
Top Bottom