johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kila iitwapo Leo nazidi kumuombea Tundu Antipas Lisu ashinde KITI Cha Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹
Nadhani atakutana na zaidi ya aliyoyakuta Shujaa Magufuli kule CCM na atakapoanza kulialia tutamkumbusha alivyokuwa anamsimanga Shujaa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 🌹