Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawanunulia vitu vya x-mass ndugu na jamaa zako mpaka umtafute wakula nae????
wewe upo smart kichwani na kwa muonekano au unataka vizuri kwa wenzio tu?
yeyote? hata mzee sawa tu?
jaribu bahati yako..!
heeh!
Girls please nakutafuta uwe n elemu si chini ya form four working or self employed kiufupi uwe smart kwa kichwa kuliko mwonekano wako ukiwa mzuri na smarat kichwani majaliwa, but above all uwe mcha mungu, na mwenye mapenzi ya dhati usiye na tamaa ila uwe una uwezo wa kuishi mahali popote nje ya nchi , ujiamini kwa mambo unayo yajua!
kribuni sana,
nitakupenda mpaka shetani ashangae ati!
unaweza kunipm
tunakoenda tumebakiza kufanya promosheni bara baran ya uzinzi
Aaahhhh mi nakula na ndugu zangu we endelea kutafutaa
Miteremko itawaponza shauri yenu..!Mwanaume wa sikuhizi na hata wazamani sijui mpoje, imeandikwa kwenye biblia mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho sasa hili working or self employed sijui linatoka wapi mweeeeee!!!
Mkuu umesahau uzalendoheeh!
Girls please nakutafuta uwe n elemu si chini ya form four working or self employed kiufupi uwe smart kwa kichwa kuliko mwonekano wako ukiwa mzuri na smarat kichwani majaliwa, but above all uwe mcha mungu, na mwenye mapenzi ya dhati usiye na tamaa ila uwe una uwezo wa kuishi mahali popote nje ya nchi , ujiamini kwa mambo unayo yajua!
kribuni sana,
nitakupenda mpaka shetani ashangae ati!
unaweza kunipm
Kweli dunia ni earth
Yupo mmoja huku nae anatafuta mume vigezo vyote anavyo.Ila tu kaacha kujiuza na yupo tayali kumcha Mungu wako.heeh!
Girls please nakutafuta uwe n elemu si chini ya form four working or self employed kiufupi uwe smart kwa kichwa kuliko mwonekano wako ukiwa mzuri na smarat kichwani majaliwa, but above all uwe mcha mungu, na mwenye mapenzi ya dhati usiye na tamaa ila uwe una uwezo wa kuishi mahali popote nje ya nchi , ujiamini kwa mambo unayo yajua!
kribuni sana,
nitakupenda mpaka shetani ashangae ati!
unaweza kunipm