hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Wakuu nina shamba langu liko chanika sasa nimeplan kulima Kilimo cha Mapapai. Naomba msaada wa kupata mtaalamu wa Wa kufanya drip irrigation.
Kuanzia mambo ya setup mpaka mambo ya ushauri na kila kitu. Ukubwa wa shamba ni kama hekari 3 but kilimo cha papai nitafanya kwa hekari moja tu.
Kwa yoyote mwenye utaalamu wa hayo mambo basi naomba anipm tufanye kazi.
Kuanzia mambo ya setup mpaka mambo ya ushauri na kila kitu. Ukubwa wa shamba ni kama hekari 3 but kilimo cha papai nitafanya kwa hekari moja tu.
Kwa yoyote mwenye utaalamu wa hayo mambo basi naomba anipm tufanye kazi.