Nataka mwalimu wa mazoezi

Nataka mwalimu wa mazoezi

Halahala na watu wa watu maana mmmnnghhh haya [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji80][emoji80][emoji80][emoji80][emoji80][emoji80] [emoji126][emoji117][emoji117]
 
Hapa sio mazoezi tu na bwana pia anatakiwa.. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87]
 
View attachment 687458nataka kuanza mazoezi ,nikipata mwalimu kama huyu naahidi nitakuwa mwaminifu kwenye mazoezi na sitakosa hata siku moja,na nitapenda sana kufanya mazoezi aina yote,unajua kila kitu kinahitaji motivation jamani,mwalimu wangu ntakupenda kwa dhati maana nitapata vitu vingi toka kwako ikiwemo mazoezi ya kutosha,so kama kuna mwalimu humu ana body kama la huyu mkaka aje pm tuyajenge,pia ka sura kawepo jamani sitaki kutishwa mie wakati wa mazoezi
Tahadhari msome na kuelewa sio uje mwalimu upo upo na huna mwili wa mazoezi utanikosea adabu na akili yangu utaichosha, hakika sitofanya mazoezi vyema na utanipotezea muda tu ntakuwa nasahau kuja mazoezini,nataka mwalimu anaevutia ili niwe napenda sana mazoezi,na kila nikikumbuka mazoezi nafurahi,itanifanya akili yangu iwe inamkumbuka mwalimu kila saa ,mwalim akitabasam tu unafurahia .Mwalimu awe na lugha laini sipendi watu wakali anielewe nilivyo tu
Hebu tupende kufanya kitu huku unazungukwa na vitu vizuri akili nayo inakuwa nzuri na afya
Duh kweli mwalimu wa mazoezi yote
 
Back
Top Bottom