Nataka mwalimu wa mazoezi

Nitafte PM kama uko serious, ntakupeleka sehemu after miezi 6 straight unakuwa hvo. Siwezi tu kuweka picha yangu hapa. Ila uwe unapatikana Dar
 
Nitafte PM kama uko serious, ntakupeleka sehemu after miezi 6 straight unakuwa hvo. Siwezi tu kuweka picha yangu hapa. Ila uwe unapatikana Dar
Oooohhhh nikija ntakucheki mwalimu mzuri eee
 
Halafu mkuu inabidi kwanza ajibu hili swali isije ikawa anataka kusumbua mkaka wa watu bure!....Sijui hata kama anajua ilivyo taabu kupata six pack halafu from the middle of the nowhere unaenda kumsumbua mkaka wa watu na kimbaombao chako!!
 
Halafu mkuu inabidi kwanza ajibu hili swali isije ikawa anataka kusumbua mkaka wa watu bure!....Sijui hata kama anajua ilivyo taabu kupata six pack halafu from the middle of the nowhere unaenda kumsumbua mkaka wa watu na kimbaombao chako!!
Wakak wenye six pack wanatupenda sana flat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…