Nataka ni inunue JamiiForum!

Wabongo mna visa, melo atapiga ishu gani sasa, Nshaona mmeleta ligi, Tambianeni hapa uwanja wenu, mkitoka apo tambianeni magari, tutambie pia uko ulaya sehemu gani, tutambie pia ulaya kitengo au mpanga box. Tambeni wakuu.
Hapa nia moja tu
Angakia mapungufu ya JamiiForums then anzisha yako soon watu wataanza kuhama humu
 
Mkuu miliki mke/mme wako sio watumiaji wa JF bhana
 
uwezi
 
anayejisikia kuinunua now ainunue tu ila baada ya miaka 12 ajue ntakuja kuinunua na itakuwa mali yang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…