hahahaha we hiyo namba inasomwaje?Kama unapata 430,000 kwa mwezi ACHA KAZI Mkuu, Ukiacha utaanza kupata 999999999999999999999999999999999999999999999999999999999000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
asante sana mkuuKwa sasa nakushauri uendelee na kazi yako ya ualimu huku ukianzisha biashara ambayo itakuwa karibu nawe ili iwe rahisi kwa wewe kuifuatilia. Baada ya kuona biashara yako imesimama vyema na inalipa vizuri zaidi kuliko ualimu, hapo ndio wakati sahihi wakufanya maamuzi.
Note:
Hakikisha umeisoma biashara yako kwa kipindi angalau cha mwaka mmoja na usifanye biashara ambayo hauna idea nayo kabisa
Kwani wewe unapenda ulipwe kiasi gani ili uone unathaminiwa ?hahahaha we hiyo namba inasomwaje?
KweliAisee mtaani kugumu komaa na hiyo kazi huku unakuwa mjasiriamali on sides
Fanya mambo mengi kwa wakati mmoja.huku ukiwa na uhakika wa kwenda ATM.kila mwezi.tafuta washauri wa mambo ya ujasiriamali.uanzishe biashara.huku ukiendelea na kazi.usiache kazi.bora nusu mkate.Aaisee kaka ukweli hamna kabisa maana matumizi yamekuwa makali sana ukizingatia familia zetu za kusaidiana yaani umekuwa mtihani mkubwa, ila tokea nianze kuwanza hili nimeanza kuweka akiba mwaka huu january mpaka nimefikisha laki 9 tu