Kwa sasa nakushauri uendelee na kazi yako ya ualimu huku ukianzisha biashara ambayo itakuwa karibu nawe ili iwe rahisi kwa wewe kuifuatilia. Baada ya kuona biashara yako imesimama vyema na inalipa vizuri zaidi kuliko ualimu, hapo ndio wakati sahihi wakufanya maamuzi.
Note:
Hakikisha umeisoma biashara yako kwa kipindi angalau cha mwaka mmoja na usifanye biashara ambayo hauna idea nayo kabisa
Note:
Hakikisha umeisoma biashara yako kwa kipindi angalau cha mwaka mmoja na usifanye biashara ambayo hauna idea nayo kabisa