MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Nawasiliana na uongozi wa juu wa JF kuhusu kupata kibali cha kuandaa mdahalo hapa JF, TOPIC nitaitoa mapema kabisa kwa washiriki kujiandaa.
Mdahalo utakuwa kati ya manguli wawili wa CCM na Chadema ndg Lucas mwashambwa na Erythrocyte .
kwenye kona ya Lucas mwashambwa pia atakuwepo ndg The Sunk Cost Fallacy 2 wakati kona ya Erythrocyte atakuwepo ndg Salary Slip .
Tuombe uzima kuelekea siku yenyewe.
Mdahalo utakuwa kati ya manguli wawili wa CCM na Chadema ndg Lucas mwashambwa na Erythrocyte .
kwenye kona ya Lucas mwashambwa pia atakuwepo ndg The Sunk Cost Fallacy 2 wakati kona ya Erythrocyte atakuwepo ndg Salary Slip .
Tuombe uzima kuelekea siku yenyewe.