aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Wakuu,
Nataka nianze kuuza ugali na dagaa mchele wale wa kukaanga, nitaweka na kachumbari kunogesha au mboga za majani.
Nimefikiria ugali na nyama ya kukaanga lakini nimeona itanikost sana kwenye nyama. Kwahiyo mbadala nimeona ni dagaa mchele ambao kuwapata ni hapa hapa Kigamboni. Kuna mwenye uzoefu na hii biashara?
Nimefikiria nikauzie sehemu wanayouza chakula bei juu, mimi nipeleke pale kwa Buku ni ugali, dagaa mchele na kachumbari.
Nataka nianze kuuza ugali na dagaa mchele wale wa kukaanga, nitaweka na kachumbari kunogesha au mboga za majani.
Nimefikiria ugali na nyama ya kukaanga lakini nimeona itanikost sana kwenye nyama. Kwahiyo mbadala nimeona ni dagaa mchele ambao kuwapata ni hapa hapa Kigamboni. Kuna mwenye uzoefu na hii biashara?
Nimefikiria nikauzie sehemu wanayouza chakula bei juu, mimi nipeleke pale kwa Buku ni ugali, dagaa mchele na kachumbari.